Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Michango yapigwa marufuku

Wednesday , 23rd Aug , 2017

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Rugimbana, amepiga marufuku wanafunzi kuchangishwa michango mashuleni bila kufuata utaratibu baada ya serikali kupiga marufuku michango ya aina yoyote inayofanywa na walimu.

Uchangishwaji huo wa michango umesitishwa baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kupata taarifa kuwa shule ya Chadulu iliyopo Manispaa ya Dodoma yenye wanafunzi zaidi ya mia sita kuendelea kuwachangisha wazazi wenye watoto wanaosoma shule hiyo michango ya maji, afya na mitihani zaidi ya shilingi elfu sita kwa kila mwanafunzi.

"Naombeni michango yote hiyo muwarudishie wazazi kuanzia shilingi 200 ya mtihani, 5000 ya maji na hiyo michango ya Afya. Kama mnaona kuna sababu yoyote ya michango hiyo ni lazima tukae sisi wenyewe, mimi Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya mkurugenzi pamoja na nyie na baada ya hapo ndipo tuwashirikishe na wazazi. Maagizo ya kusitisha michango ni kwa shule zote za Dodoma," 

Bw. Rugimbana ameenda shuleni hapo kufuatia malalamiko ya baadhi ya wazazi kuwa licha ya serikali kupiga marufuku michango mashuleni yenye kero mbalimbali, lakini bado wanaendelea kuchangishwa na kuthibitishwa na Mwalimu mkuu msaidizi wa shule hiyo Rhoda William.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu