
Wachezaji wa Milwaukee Bucks wakishangilia ubingwa

Roketi aina ya Blue Origin, ikiwa na Jeff Bezos na wafanyakazi ndani, ikiwa inapaa kutoka ardhini.

Waziri wa Kilimo Mhe Prof. Adolf Mkenda akizungumza na waandishi wa habari wakati alipofanya ziara ya kikazi ya siku moja katika bandari ya Dar es salaam leo, 20 Julai 2021 kukagua hali ya upakuaji wa mbolea.

Picha baadhi ya eneo lilioharibiwa na moto katika Shule ya Sekondari Geita (picha kutoka mtandaoni)

Kutoka kushoto ni Chidi Benz, Harmonize, Alikiba na Diamond
Msanii Killy kushoto na Alikiba kulia

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi George Simbachawene

Picha ya Msanii Tiwa Savage na Baba yake

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe, akionesha chuma kilichotumika kumjeruhi Askari