Msanii Killy kushoto na Alikiba kulia
Killy anasema amependa ubunifu uliofanyika kwenye video ya wimbo huo na Alikiba amevaa uhusika na watu wamependa kilichofanyika.
"Nimependa creativity ya video Director ametisha sana na wimbo mkali, nimemuona kaka yangu Alikiba ame-act ile character ya kuuvaa uhusika kabisa, kitu ambacho kimefanyika ni kizuri na hata watu wamekipokea pia" amesema Killy
Ikumbukwe Killy na Cheed wote walikuwa chini ya Alikiba kwenye lebo ya Kings Music Records kabla ya kuhama April 2020, kuhamia lebo ya Konde Gang Worldwide ya Harmonize.
Zaidi tazama hapa chini kwenye video.