Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lijualikali hawezi kupoteza ubunge - Lissu

Thursday , 12th Jan , 2017

Siku moja baada ya Mbunge wa Kilombero Mhe. Peter Ambrose Lijualikali kuhukumiwa na Mahakama kwenda jela miezi 6, Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimeandaa timu ya wanasheria kwa ajili ya kuanza taratibu za kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo

Tundu Lissu

Akizungumza na vyombo vya habari leo Jijini Dar es Salaam, Mwanasheria Mkuu wa chama hicho na Mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu amesema timu ya wanasheria wa chama hicho wameanza taratibu za kukata rufaa, kwa kuandaa notisi ya rufaa na maombi ya dhamana ya dharura wakati uamuzi juu ya rufaa yake ukisubiriwa ili Mhe. Lijualikali  aweze kupata dhamana huku wakiendelea na kesi hiyo.

Aidha, Mhe. Lissu amesema, hukumu hiyo kwa Mhe. Peter Lijualikali haina athari zozote kwa hadhi yake kama mbunge wa jimbo la Kilombero kwani Katiba imeeleza wazi juu ya makosa yanayoondoa sifa za kuwa mbunge na kwamba adhabu ya kifungo alichopewa haijazidi miezi 6 na kosa alilohukumiwa siyo kosa la kugushi, ubadhirifu ama makosa mengine yanayoambatana na utovu wa uaminifu.

Peter Lijualikali

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma