Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jaji Mkuu apingwa

Thursday , 14th Sep , 2017

Wabunge wa chama cha Jubilee Kenya wamepeleka maombi kwenye Tume ya Utumishi wa Mahakama (JSC) kumuondoa madarakani Jaji Mkuu wa wa Mahakama ya Juu , David Maraga ikiwa ni wiki chache baada ya jaji huyo kutengua matokeo ya urais .

 Mbunge wa Nyeri Mjini , Ngunjiri Wambugu amefungua mashtaka hayo leo katika Tume ya Majaji akitaka Jaji Maraga ang’olewe kwa kile alichokieleza kuwa utendaji wake ni mbaya.

Wambugu  amewasilisha mashtaka yenye kurasa 14 na  ameomba Tume ya Majaji kwa kushirikiana majaji na mahakimu kuanzisha uchunguzi dhidi ya Jaji Maraga ili kubaini mwenendo wake tangu alipoteuliwa kushika wadhifa huo.

Chama cha Jubilee wanataka jaji huyo achunguzwe kutokana na kuhusishwa na mashirika ya kiraia yanayompinga Rais Kenyatta  Nairobi, Kenya.

Kwa mujibu wa Chombo cha habari Kenya kimeandika kuwa Mbunge huyo amedai jaji huyo alimzuia Jaji Mohamed Ibrahim kushiriki katika kesi iliyofunguliwa na mgombea wa Nasa, Raila Odinga aliyekuwa akipinga matokeo ya urais. Jaji Ibrahim alishindwa siku ya pili kusikiliza kesi hiyo kutokana na kuugua.

Septemba 1 mwaka huu Jaji David Maraga alibatilisha matokeo ya Urais yaliyompa ushindi Mgombea wa Jubilee Uhuru Kenyata kupitia kesi iliyofunguliwa na Muungano wa vyama vya upinzani Nasa kwa kusema kuwa uchaguzi ulikuwa na dosari

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu