Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC awacharukia madereva wa wanafunzi

Thursday , 18th May , 2017

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Christina Mdeme amewaagiza wamiliki wa shule na mabasi yanayobeba wanafunzi kusimamia nidhamu ya madereva ili kuepuka madhara yaonayoweza kutokea kutokana na uzembe.

Bi Mdeme ametoa kauli hiyo wakati akiongea na wamiliki wa shule na mabasi ya wanafunzi mkoani humo katika kikao cha pamoja kwa ajili ya suala la ukaguzi na usalama wa magari ya wanafunzi mjini Dodoma.

Mkuu huyo wa Wilaya amesema kuwa wakati mwingine ajali zinatokea si kwa ubovu wa magari hayo bali ni tabia za madereva ambazo zinapelekea kutokea kwa ajali hivyo bila kusimamiwa kwa nidhamu yao bado matukio kama hayo yataendelea kutokea.

Katika hatua nyingine Bi. Mdeme amepiga marufuku kuwajaza wanafunzi katika gari moja kupita idadi yao huku akiongeza marufuku ya kusafirisha wanafunzi hasa wa shule za awali na msingi kwa njia ya bodaboda.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea