Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

AUDIO: Kala amwangukia Mwakyembe

Tuesday , 23rd May , 2017

Msanii wa hip hop, Kala Jeremiah amemuomba Waziri Mwakyembe kutengua kauli yake ya kuwataka wasanii waache kuimba nyimbo zinazohusu siasa, kwa madai kuwa ni kuwatenga mbali na jamii inayotegemea wasanii kuwasemea mahitaji yao.

Akizungumza kwenye 'story' tatu ndani ya Planet Bongo, Kala amesema kuwa kauli ya  Mh. Mwakyembe haiko sawa kwani inatengeneza 'gap' kubwa kati ya jamii na wasanii na kuongeza kwamba siasa zinazoimbwa na wasanii ndizo ambazo zinasaidia jamii na wakati mwingine zinasaidia serikali kutopoteza pesa.

Aidha Kala amendelea kufunguka kwamba yeye kama msanii anayeimba harakati kwa ajili ya kusaidia jamii yake kauli ya Waziri ni kama inamlazimisha kuimba nyimbo za mapenzi kitu ambacho kwake hakitampa tatizo lakini hasara itakuwa kwa jamii inayohitaji kusemewa.

 Pamoja na hayo Kala amefunguka na kusema wimbo wake alioimba kuwasemea watoto yatima 'Wanandoto' umempatia sifa kubwa kutoka kwenye mashirika mbalimbali yanayojihusisha na kusaidia watu wenye matatizo na kumpongeza kwa kuweza kufikisha ujumbe mzito pasipo kutumia gharama kubwa sana.

Msikilize hapa chini Kala akifunguka kwa undani zaidi.

 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea