Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Anapanga mpango wa kuja kuwateka"- Waziri Mwigulu

Monday , 19th Feb , 2018

Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. Mwigulu Nchemba amewataka askari Magereza nchini kulinda taratibu za Magereza, kutokana na taarifa za baadhi ya askari wa jeshi hilo kuwapa simu wafungwa kwa ajili ya mawasiliano.

Waziri Nchemba amesema hayo katika uzunduzi wa gereza la Wilaya ya Chato, Mkoani Geita, na kuwataka Askari magereza hao kuwa waadilifu katika kutekeleza majukumu yao.

"Zamani unaweza kudhania kwamba wanasalimia familia lakini si sasa. Leo unaweza kumpa simu mfungwa ukidhani anasalimia familia kumbe anapanga mpango wa kuja kuwateka hapo hapo, majira yamebadilika. Sasa kwa sababu sheria zipo tuzingatie maadili ya sheria hizo ili kuweza kuhakikisha tunadumisha usalama na maadili magerezani", amesema Mwigulu.

Katika hatua nyingine Waziri Nchemba, amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, kuwachukulia hatua waliohusika na kifo cha Mwanafunzi pamoja na matukio mengine ya mauaji yaliyotekelezwa hivi karibuni.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma