Janjaro: 'Nivungieni' shule nitarudi
Dogo Janja aka Janjaro kama anavyopenda kujulikana kwa sasa, amesema kuwa baada ya kufikia umri ambao kwa sasa anaona kuwa ana uelewa na mambo wa kiutu uzima, ameamua kuendesha muziki wake kivyake nnje ya lebo ya mtanashati, huku akiwa na malengo kibao ya kuutumia muziki huu kujiendeleza kimaisha.