Desire kurudi kwa kishindo

Msanii wa muziki wa nchini Uganda, Desire Luzinda anatarajiwa kurudi jukwaani kwa kishindo akiwa na nguvu mpya baada ya miaka 6 ya utulivu, ambapo amepanga kutumbuiza katika onyesho la aina yake ambalo amelipatia jina 'Black and White Affair'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS