Mkapa Aonya Udini na Ukabila Afrika Mashariki

Rais Mstaafu wa Tanzania Benjamini Mkapa

Rais  mstaafu  wa  awamu ya tatu  Benjamini  Mkapa  amewataka  wananchi  wa  nchi  za  Jumuiya ya Afrika  Mashariki  kutokubali  kuruhusu  chokochoko  za  kikabila, kisiasa  na  kidini  zinazoweza  kuleta  machafuko  na kupelekea  mauaji  ya kimbari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS