Bondia wa Iran amejigamba kumchakaza Miyeyusho
Bondia Sukkasem Kietyongyuth kutoka nchini Irani na Bondia Francis Miyeyusho Chichi Mawe wamepima uzito pamoja na afaya zao hii leo tayari kwa pambano lisilo la ubingwa litakalopigwa hapo kesho katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam.