RITA imewaonya wanaoghushi vyeti vya Kuzaliwa

Aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe alipokuwa akizindua vyeti vipya vya kuzaliwa mwezi wa kumi mwaka 2009

Wakala wa usajili, Ufilisi, na udhamini nchini Tanzania RITA imewatahadharisha wananchi juu ya kuwepo kwa watu wachache wanaowadanganya wananchi kwa kutaka kuwatengenezea vyeti vya kuzaliwa pasipo kufuata utaratibu wa RITA.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS