Rais Kikwete aipongeza Timu ya watoto wa Mitaani

Nahodha msaidizi wa timu ya Tanzania ya watoto wa mitaani Frank Wiliam akimkabidhi kombe Waziri Mkuu Mizengo Pinda timu hiyo ilipotembelea Bungeni leo (April 11 2014)

Rais Jakaya Mrisho Kikwete ameipongeza Timu ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania kwa kutwaa Kombe la Dunia huko Rio de Janeiro – Brazil.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS