Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Maji Safi na Majitaka jijini Dar es Salaam (DAWASCO), Jackson Midala
Shirika la majisafi na maji taka jijini dar es salaam,DAWASCO limesema sehemu kubwa ya jiji hivi sasa inapata maji baada ya kukosekana kwa huduma hiyo kutokana na athari ya mafuriko.