Joe Praize atua Bongo na somo kwa wasanii
Msanii wa muziki wa injili wa kimataifa, Joe Praize ambaye anafanya kazi zake huko Nigeria na Marekani, ametua nchini Tanzania kwaajili ya kazi zake za kimuziki, ikiwepo kushiriki kutoa burudani katika kanisa la Christ Ambassodors Dar es Salaam leo.