JK Kushughulikia mgogoro wa TZ na Malawi kwa Amani

Rais Kikwete akiwa ziarani mkoani Ruvuma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa kamwe Tanzania haitatumia nguvu kumaliza mvutano kati yake na Malawi kuhusu mpaka kati ya nchi hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS