Kikosi cha taifa stars ambacho kitaivaa Msumbiji jumapili wiki hii.
Kocha stars asema ana wachezaji sita mpaka saba wenye uwezo wa kufunga magoli ndani ya dakika moja na sasa ametoa nafasi kwa wachezaji wote kucheza kwa uwezo wao na kila mmoja amwezeshe mwenzie kufunga