Wabunge 500 wa Jumuiya ya Madola kukutana Arusha

Rais wa  umoja  wa  mabunge  ya  nchi  za  Jumuiya ya Madola  kanda ya  Afrika, Mh Anna Makinda

Wajumbe  wa  umoja  wa  mabunge  ya  nchi  za  Jumuiya ya Madola  kanda ya  Afrika  wanakutana  Arusha kwa  siku  tano kujadili  changamoto  mbalimbali  zinazozikabili  nchi  za Jumuiya  hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS