Maskini Mil 13 TZ kunufaika na mpango wa serikali
Watu zaidi ya milioni 13 ambao wanaokabiliwa na umasikini mkubwa nchini watanufaika katika mpango wa kunusuru kaya masikini unaotekelezwa na serikali ya Tanzania, benki ya dunia na wadau wengine wa maendeleo.
