Radio na Weasel huru kutinga EU

Wasanii wa nchini Uganda Mose Radio & Weasel

Wasanii wa muziki Radio na Weasel kutoka Uganda, wameondolewa kizuizi cha miaka 10 walichokuwa wamewekewa kutoingia katika nchi za Ulaya, hatua iliyofanikiwa baada ya kutumia msaada wa wanasheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS