Stars yaenda Mbeya kuiwinda Msumbiji

Mshambuliaji Mcha Hamis wa taifa stars akienda kuokota mpira baada ya kuifungia stars bao la kusawazisha dhidi ya Msumbiji

Shirikisho la soka nchini TFF limesema timu ya Taifa stars itakwenda Msumbiji siku moja kabla ya mchezo ili kuepusha hujuma na vituko vya nje ya uwanja mabavyo vitaweza kuwavuruga wachezaji wa timu hiyo kisaikolojia na kuwatoa kimchezo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS