Chama cha kuogelea Tz kuwapa mafunzo waokoaji

Baadhi ya waogeleaji wakichuana katika moja ya michuano ya kuogelea nchini.

Chama cha kuogelea nchini Tanzania TSA kimetoa wito kwa wamiliki wa mabwawa na mahotel yenye mabwawa ya kuogelea kuhakikisha wanaajiri waokoaji wenye taaluma ya uokoaji ili kuepusha matatizo kwa waogeleaji pindi wanaposhindwa kuogelea

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS