Kesi ya Nasra yafikishwa kwa Mwanasheria Mkuu Marehem mtoto Nasra enzi za uhai wake akiwa na baba yake Kesi ya mauaji ya mtoto nasrah mvungi inayowakabili washtakiwa watatu imeingia katika hatua nyingine baada ya jalada la kesi hiyo kupelekwa kwa mwanasheria mkuu wa serikali. Read more about Kesi ya Nasra yafikishwa kwa Mwanasheria Mkuu