Kamati yaundwa sakata mabaki viungo vya binadamu

Naibu Waziri wa afya na ustawi wa Jamii nchini Tanzania, Dkt Kebwe Stephen Kebwe (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na waziri wa wizara hiyo Dkt Seif Rashid.

Sakata la mabaki ya viungo vya binadamu kukutwa yametupwa Bunju A nje kidogo ya jiji la Dar es salaam, limechukua sura mpya baada ya Serikali kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kuunda kamati maalumu ya watu 15 kuchunguza tukio hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS