Kamati yaundwa sakata mabaki viungo vya binadamu
Sakata la mabaki ya viungo vya binadamu kukutwa yametupwa Bunju A nje kidogo ya jiji la Dar es salaam, limechukua sura mpya baada ya Serikali kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kuunda kamati maalumu ya watu 15 kuchunguza tukio hilo.

