Mona ajivunia kueleweka katika sanaa ya uigizaji
Staa wa muziki Monalisa, ambaye ni moja kati ya wasanii waliochaguliwa kuwania tuzo katika vipengele tofauti kutoka tuzo kubwa za filamu Tanzania, TAFA 2015 kwa niaba ya wasanii wengine, ameweka wazi furaha yake kwa nafasi hiyo.