Waziri mkuu mstaafu Fredrick Sumaye ajiunga UKAWA Waziri mkuu msataafu wa awamu ya tatu Mh. Fredrick Sumaye Waziri Mkuu mstaafu wa awamu ya tatu Mh. Fredrick Sumaye ametangaza kujiondoa rasmi katika chama tawala nchini Tanzania CCM na kujiunga na umoja wa katiba ya wananchi UKAWA. Read more about Waziri mkuu mstaafu Fredrick Sumaye ajiunga UKAWA