Mmoja ya Wafabiashara wa vyakula mjini Morogoro ambae ameziomba mamlaka kuwatafutia sehemu salama
Wananchi wakiwemo wafanyabiashara wadogo wadogo wa vyakula mkoani Morogoro wameishauri mamlaka husika kuwatafutia maeneo ya kufanyia biashara zao wakati huu wa mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu.