Waomba sehemu za biashara kukwepa kipindupindu

Mmoja ya Wafabiashara wa vyakula mjini Morogoro ambae ameziomba mamlaka kuwatafutia sehemu salama

Wananchi wakiwemo wafanyabiashara wadogo wadogo wa vyakula mkoani Morogoro wameishauri mamlaka husika kuwatafutia maeneo ya kufanyia biashara zao wakati huu wa mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS