Tupo tayari kuvaana na Nigeria - Mkwasa Kocha mkuu wa timu ya Tanzania Taifa Stars Charles Mkwasa amesema vijana wake wapo tayari kuwavaa Nigeria Septemba 05, 2015 katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za AFCON mwaka 2017. Read more about Tupo tayari kuvaana na Nigeria - Mkwasa