Sumaye aendelea kumsafisha Lowassa mikoani

Waziri Mkuu Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye akiwana mgombea urais kupitia Chadema,Edward Lowassa

WAZIRI mkuu mstaafu Fredrick Sumaye amesema kuwa mgombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) waziri wa zamani Edward Lowassa hakuwa na kosa wakati wa Richmond alijitoa kafara kwaajili ya nchi na ndio maana hakufukuzwa kazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS