Kikosi kipo vizuri zaidi ya mwaka jana - Mexime Kocha wa Timu ya Mtibwa Sugar, Meck Mexime amesema kikosi chake kipo katika maandalizi ya mwisho ya msimu ujao wa Ligi kuu Bara na anaamini kikosi chake kitaleta changamoto kubwa zaidi ya kiushindani. Read more about Kikosi kipo vizuri zaidi ya mwaka jana - Mexime