Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa,
Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, wameendelea na kampeni za kuwania Urais kwa mgombea wa chama hicho Mh. Edward Lowassa katika mkoa wa Njombe.