Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri wa Kilimo akiangalia ndizi iliyolimwa kwa kuzingatia kanuni bora katika shamba
Rais Jakaya Mrisho Kikwete mesema kuwa hakuna mtanzania aliyewahi kufa njaa kwani nchi haikuwahi kuwa na upungufu wa chakula na kusababisha hali ya kuleta athari za kifo kutokana na njaa kwa wananchi wake.