Serikali kudhibiti Usafirishaji wa Kemikali hatari

Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele akizungumza kwenye hafla.

Wakala wa maabara ya mkemia mkuu wa serikali wamesema kuwa kufuatia kuendelezwa kwa bandari ya Tanga kuendelea kufanya kazi kuna uwezekano mkubwa wa kuwepo shughuli za usafirishaji wa kemikali ambazo ni hatari kutokaTanzania kwenda nje ya nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS