Watanzania watakiwa kuwekeza katika Ufugaji Samaki

Hili ni bwawa la kuchimbwa chini, lipo katika kituo cha ufugaji wa samaki cha serikali kilchopo Kingolwira mjini Morogoro

Watanzania waliopo vijijini na mijini wameshauriwa kutumia fursa adhimu na adimu ya ufugaji wa samaki kwani ni rahisi kuwatunza, gharama ndogo ya maandalizi ya mradi ambao unaingiza kipato kikubwa kwa haraka na kwa muda mfupi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS