Serikali yazindua taasisi ya magonjwa ya moyo`

Waziri wa afya na ustawi wa jamii Dkt. Seif Rashid

Serikali ya Tanzania imesema ujenzi wa taasisi ya magonjwa ya moyo na uzibaji wa matundu iliyopo katika hospital ya taifa ya muhimbili umesababisha serikali kuokoa zaidi ya shilingi bilioni 2.5 ambazo zingetumika kuwasafirisha nje ya nchi wagonjwa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS