mkali wa miondoko ya Hip hop nchini Tanzania Bonta Maarifa
Moja kati ya wasomi wakubwa wanaofanya muziki wa Hip Hop hapa Bongo, Dr. Godfrey Nyahongo maarufu zaidi kama Bonta Maarifa kutoka kundi la Weusi ametoa tathmini yake juu ya mulekeo, misimamo ya wasanii kisiasa.