Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe Salum Kassim Ali
Wagombea ujumbe wa baraza la wawakilishi kutoka vyama vya CCM na CUF wamewekeana pingamizi kupinga uteuzi kwa madai ya udanganyifu,uraia na tuhuma za kesi za kukutwa na silaha zikiibuka.