Tumeiandaa timu kushindana sio kushiriki -Magani

Chama cha Mpira wa Magongo Mkoa wa Dar es salaam DRHA kimesema kimejipanga kwa kuhakikisha timu ya taifa inayotarajia kushiriki mashindano ya kufuzu michuano ya Olimpiki ya Afrika inashindana na sio kushiriki mashindano hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS