Sharrif Hamad afungua pazia la kampeni Zanzibar

Katibu Mkuu wa CUF ambae pia mgombea Urais wa UKAWA kupitia CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad,

Mgombea urasi wa Zanzibar kupitia chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad amesema atahakikisha anaimarisha uchumi wa visiwa hivyo akipata ridhaa ya kuwa Rais akishinda uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS