Siasa ilinifanya kuandika 'Do it' - Young Dee

Msanii wa muziki wa kizazi kipya (Bongo Flava) David Ganzi maarufu kwa jina la Young Dee amesema hali halisi inayoendelea nchini kwa sasa ndiyo imemsukuma kufanya wambo wake mpya unaofanya vizuri kwa sasa, aliomshirikisha msanii wa miondoko ya R&B Ben Pol unaoitwa “Do It”

Young Dee ameyasema hayo alipokuwa akichat moja kwa moja na mashabiki katika kipengele cha Kikaangoni Live, kinachoendeshwa na kituo cha televisheni cha East Africa Television (EATV) na East Africa Radio, kupitia mtandao wa Facebook.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS