Wanaume watakiwa kuacha kuwafanya Wanawake Mabaara

Mshauri wa jinsia wa Shirika la Plan International Bi. Jane Mrema

Baadhi ya wananchi wa vijiji katika wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, wamelaani vitendo vinavyofanywa na baadhi ya wanaume vya kuwageuza wenza wao kuwa maabara, kwa kuwatanguliza kwenye vituo vya afya,na kisha kuyafanya matokeo ya vipimo kama yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS