Aliyekuwa mwigizaji maarufu kutoka nchini Kenya, marehemu Nana Gichuru
Aliyekuwa mwigizaji maarufu kutoka nchini Kenya, Nana Gichuru aliyepoteza maisha mchana wa jana katika ajali mbaya ya gari, amegusa nyoyo za wengi ikiwepo sehemu kubwa ya watu maarufu nchini Kenya.