Bella kupiga kolabo ya kimataifa

Staa wa muziki wa dansi nchini Christian Bella Obama aka King of the Best Melody

Star wa muziki wa dansi nchini Christian Bella Obama a.k.a King of the Best Melody hivi sasa amejipanga kusafiri nje ya nchi kukamilisha mpango wa kufanya kolabo na moja ya wasanii wakubwa kabisa barani Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS