Rapa Nicki Minaj mbishi kweli

Rapa wa kike wa nchini Marekani Nicki Minaj

Rapa wa kike Nicki Minaj amedhihirisha kuwa yeye ni mbishi, baada ya kutumbuiza kwenye tamasha jana nchini Angola, licha ya wanaharakati wa haki za binadamu kukosoa tamasha hilo na kutaka lifutwe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS