Daddy Owen kusaidia walemavu

Nyota wa muziki Daddy Owen wa nchini Kenya akiwa na mke wake

Nyota wa muziki Daddy Owen wa nchini Kenya, ameweka nguvu zake katika kuendeleza shughuli za hisani hususan katika kusaidia walemavu katika jamii, akiwa amejipanga kushiriki katika matembezi ya watu wenye ulemavu huko Kenya, Desemba 3.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS