Nyota wa muziki kutoka kundi la Watu Pori, Koba MC
Nyota wa muziki aliyejijengea jina akiwa na kundi la watu Pori, Koba MC ambaye amebadili kwa kiasi kikubwa mahadhi ya muziki anayofanya, hivi sasa ameamua kusimama katika mitindo ya mchiriku na mdundiko.