FIFA yaboresha ushiriki wa wanawake katika soka
Chama cha Soka la Wanawake nchini TWFA kimesema mpango wa kuhamasisha wanawake kujihusisha na soka ulioandaliwa na FIFA unaotarajiwa kuzinduliwa rasmi Novemba 29 mwaka huu jijini Dar es salaam utasaidia kuweza kukuza soka kwa wanawake hapa nchini.