Waamuzi hawana tatizo,kikosi chetu sio imara-Mrage

Kocha wa timu ya JKT Ruvu Mrage Kabange amesema, katika Michuano ya Ligi kuu hajaona tatizo la waamuzi katika mechi mbalimbali isipo kuwa ni mapungufu ya timu yake ndio yamechangia timu hiyo kushindwa kufanya vizuri

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS