Watumishi wengine watatu wa TRA wasimamishwa kazi

Waziri Mkuu, Mhe.Kassim Majaliwa akiwasalimia Kamishna aliyesimamishwa kazi,Rished Bade wakati alipotembelea Bandari ya Dar es salaam kitengo cha Ukusanyaji mapato

Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa hii leo amewasimamisha kazi watumishi wengine watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ambao jana iliamriwa kwamba watahamishiwa mikoani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS