Waziri Mkuu, Mhe.Kassim Majaliwa akiwasalimia Kamishna aliyesimamishwa kazi,Rished Bade wakati alipotembelea Bandari ya Dar es salaam kitengo cha Ukusanyaji mapato
Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa hii leo amewasimamisha kazi watumishi wengine watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ambao jana iliamriwa kwamba watahamishiwa mikoani.