Nyota anayeuwakilisha muziki wa Bongofleva barani Ulaya Saraha
Nyota wa muziki Saraha ambaye yupo nchini Sweden aongea na eNewz kuhusu kuchaguliwa kwake na televisheni ya taifa kuwa mmoja wa washiriki wa tamasha kubwa la muziki lililobatizwa jina "Melodifestivalen 2016".