Japan yaahidi kushirikiana na Tanzania kimaendeleo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi wa Japan nchini Masaharu Yoshida aliyefika Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo.

Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japan nchini Mhe. Masaharu Yoshida Ikulu jijini Dar es salaam, ambapo Balozi huyo amempongeza Dkt. Magufuli kwa kuchaguliwa kuingoza Tanzania katika awamu ya tano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS