Mji Njombe kuendelea kumkosa kocha wake Mkuu
Uongozi wa timu ya Mji Njobe ya ligi daraja la kwanza imesema itaendelea kumkosa kocha wao mkuu David Mwamwaja kwenye benchi lake la ufundi akiwa anaendelea kupata matibabu jijini Dar es salaam kufuatia kuanguka ghafla na kuumia.