Mji Njombe kuendelea kumkosa kocha wake Mkuu

Kocha wa Mji Njombe ambae zamani alikua akiifundisha timu ya Prison ya Jijini Mbeya alipokuwa hospitali Muhimbili hivi karibuni.

Uongozi wa timu ya Mji Njobe ya ligi daraja la kwanza imesema itaendelea kumkosa kocha wao mkuu David Mwamwaja kwenye benchi lake la ufundi akiwa anaendelea kupata matibabu jijini Dar es salaam kufuatia kuanguka ghafla na kuumia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS