Bulaya kutinga Mahakama Kuu leo
Mbunge wa jimbo la Bunda mjini mkoani Mara, Esther Bulaya, anatarajiwa kutinga mahakama kuu kanda ya Mwanza leo jumanne baada ya kufunguliwa kesi ya madai ya kupinga matokeo yaliyompa ushindi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.