Bulaya kutinga Mahakama Kuu leo

Mbunge wa jimbo la Bunda mjini mkoani Mara, Esther Bulaya

Mbunge wa jimbo la Bunda mjini mkoani Mara, Esther Bulaya, anatarajiwa kutinga mahakama kuu kanda ya Mwanza leo jumanne baada ya kufunguliwa kesi ya madai ya kupinga matokeo yaliyompa ushindi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS